Nitakribani mwezi mmomja sasa tangu ligi ya mpira wa miguu ianze Wilaya ya Singida vijijini, hongera sana Bwana Mpombo kwa maono yako mazuri ya kuvaa jukumu la kuendeleza michezo mkoani singida. Ligi hii ni kubwa sana kwa mkoa huu wa singida kwani inakaribia kuwa na timi zaidi ya thelathini. Nimatumaini ya kila mwana Singida kuwa kwa mwendo huu kuna taswira nzuri siku za usoni kwa Mkoa na hata Taifa kwa ujumla.
Ushauri wangu kwa mashindano makubwa kama haya
Michezo ni Afya, Urafiki, Furaha, tena pia ni Ajira.
Picha juu gari la matangazo katika michezo hiyo
Bwana Mpombo akizungumza na hadhira juu ya umuhimu wa michezo hiyo
Katibu wa Chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Singida akifungua michezo hiyo Bw.Hussein Mwamba
Waamuzi wa michezo hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Wachezaji.
kamati ya ulinzi katika mashindano hayo
Ushauri wangu kwa mashindano makubwa kama haya
- Kuwepo kwa mipango endelevu ya kuhakikisha kuna kuwapo na utaratibu mzuri wa kuendeleza vipaji vinavyo onekana kupitia michezo hii.
- Kuwa husisha wadau wanao kuwa ni mhimili mkubwa katika michezo hii kamaWaamuzi, Makocha, Madakitari n:k
- Kuchanganya michezo anuai ilikuhusisha jamii kwa ujumla wake zaidi ya wale wanaocheza soka. (Kuwepo na Netiboli, Voleboli, Mpirawakikapu na hata wa Mpirawamikono)
- Kuwepo kwa mikakati kabambe inayolenga vijana wadogo zaidi kuliko watu wazima ambao hata ufundishaji wake muda mwingine ni mgumu.
Michezo ni Afya, Urafiki, Furaha, tena pia ni Ajira.
Picha juu gari la matangazo katika michezo hiyo
Bwana Mpombo akizungumza na hadhira juu ya umuhimu wa michezo hiyo
Katibu wa Chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Singida akifungua michezo hiyo Bw.Hussein Mwamba
Waamuzi wa michezo hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Wachezaji.
kamati ya ulinzi katika mashindano hayo
Changia mawazo yako hapa, Kuwa huru kuandika chochote kwa manufaa ya jamii
EmoticonEmoticon