Millionaire  Ads

Saturday, August 16, 2014

KWA HILI UONGOZI WA CCM MKOA WA SINGIDA MTUTAKE RADHI WANANCHI WENU PAMOJA NA WADAU WOTE WA MICHEZO NCHINI TANZANIA.

Nitakribani wiki mbili tangu kile kilichoisemwa na vyombo vingi vya habari nchini kuwa Mhe.Dewji Mbunge wa Jimbo la singida mjini kuwa ameamua amwandikie Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Bw.Abdulrahman Kinana kuwa kumekuwa sitofahamu  juu ya ujenzi wa Uwanja unao juklikana kama uwanja wa mkoa wa singida wa Namfua. hali hii imetokana na kukwamishwa kwa jitihada za kuufanyia ukarabati na ujenzi ikiwa ni ahadi ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Mbunge wa singida Mjini Mh. Mohammed Dewji. Utata huo umetokea baada ya uongozi wa chama cha mapinduzi Mkoa wa singida kutoruhusu Mchakato huo kuendele kwa zaidi ya mwaka sasa kwa sababu ambazo zimekuwa hazieleweki kila siku.
kwa maelezo toka kwa moja ya wasemaji  wa kampuni ya "Mohammed enterprises" ilielezwa kwamba Kampuni hiyo imetekeleza kile kile ambacho ilitakiwa kukifanya kwa manufaa ya wananchi,  bali tatizo kubwa ni upande wa uongozi wa mkoa wa chama cha mapinduzi  na hili limetokana na kuwa uwanja wa namfua ni moja ya maeneo ambayo yanamilikiwa na chamahicho kwa mkoa wa singida hivyo basi.Raisi kwa upande wake Alifanya yake ya kutafuta fedha ambazo zilitakiwa katika ukarabati wa uwanja ambapo Kampuni Airtel ilikubali kutoa fedha Jumla ya shilingi milioni Mianane  wakati mbunge wa Singida Mjini yeye kwa kupitia kampuni ya  Mohammed interprises alito fedha zaidi ya Milioni Mia sita kiasi ambacho kilionekana kinaweza kutosha walau kwa kuanzia ukarabati na ujenzi wa uwanja huo. Suala ambalo limekuwa gumu sana ni Kitendo cha Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi kutoruhusu ujenzi huu kuendele kwa mwaka moja na zaidi sasa.
  • Labda swali ambalo wote tunatakiwa tujiulize kuwa je kuna uzito gani  kuruhusu tuu, ujenzi huu uendele ikiwa fedha zipo na kampuni  ya masasi construction imekwisha kuwa tayari kufanya kazi hiyo?
  • Pia tujiulize kazi kubwa ni ipi kati ya kuruhusu uwanja  ujengwe, kujenga na kutafuta fedha za kujengea?
  • Je kama upande wa kwanza wawadhamini wa utengenezaji wa uwanja huu wamejitole kwa manufaa ya umaa! Ni kwanini chama kinatufanyia hivyo wananchi wake na  wadau wa michezo? 
  • Si hivyo tu suala jingine pia tufikirie  uwanja huu utanufaisha watu wangapi pidi utakapao kamilika?
CCM ni  chama pekee ambacho hata wadau tunakubali kuwa kimeto fursa za kuibua vipaji kwa asilimia kubwa sana nchiTanzania  kwa  hakika haya ya singida hayaendani na hadhi ya chama na pia ni mwelekeo mbaya kwa chama na maendeleo ya michezo pia.
Nafikri kama kunatofauti za kisisasa ni vizuri zikamalizwa kwa utaratibu mwingine na wala si kwa kudidimiza michezo kwani tutakuwa tuna wanyanyasa wananchi wetu ambao wanaguswa na suala zima zima la michezo.
lakini pia swala la kukumbuka na  tulikuwa tunaomba chama kifahamu nikwamba tunahuzunishwa sana kuona kuna viongozi ambao wamekuwa hawana uchungu na maendeleo ya michezo  mkoani singida   ikiwa ni moja ya mikoa ambayo imekosa hata uwakilishi wa Timu kwa mashindano ya kitaifa na kimataifa ilihali wachezaji wapo na uwezo wanao.
Haya mambo kiukweli yanaturudisha nyuma sana na tunaumia tunavyo yaona yanaendelea tena katika sura tofautitofauti kama hili la ujenzi wa kiwanja.
Tunawashukuru wadau hawa wanaoifikiria singida kuwa ibadilike kitaswira kwa upande wa michezo tunaomba wasichoke , na ndugu zetu viongozi wa CCM waone kuwa sisi tunawaona utendaji wao wa kazi na jinsi wanavyo yajali makundi mbalimbali katika jamii. sivizuri tukatanguliza masilahi ya kisiasa  kulioko maswala yanayogusa jamii kwa ujumla.
tunawaomba  mfikirie upya na kututaka radhi wadau wa michezo na wanachi wa Singida na Taifa kwa ujumla.
        Jukwa la uwanja wa Namfua

 Jukwa la upande wa mashariki ya uwanja wa Namfua

 Upande wa Goli wa kaskazini mwa uwanja wa Namfua

 Sehemu ya uwanja wa Namfua Kwa ndani
                                    
 Wanafunzi wakifanya Mazoezi Katika Uwanja wa Namfua Mwaka 2012


 Tunataka Uwanja wa Namfua ubadilike walau ufanane kidogo na uwanja huu wa Azam

Majukwa ya uwanja si vibaya yakawa  na taswira kama hii kuliko jukwa lilopo kwa saasa ambalo bati zinapiga kelele mda wote.



Wednesday, August 13, 2014

SPEECH PROVIDED BY GUEST OF HONOR IN OPENING EVENT IN SEMINAR OF 12 SPORTS TEACHERS.

TTU-Education Through Sports held Sports Seminar Since Monday on August,11 2014. This is among of the  big Sports Seminar Which held in Singida Regions 2014. The contents of this seminar  based in Athletics differ from the Seminars which passed where were for other sports, Such as Football, Netball, volleyball, Basketball Handball and other sport oriented  activities.
in the opening event the guest of Honor Madam Eva S. Mosha Who was Act.Regional Educational Officer (R.E.O) was  appreciated on how the Sports project working towards the development of Sports  Especially in Singida and the National wide.
In other hand Guest of honor blamed  why Some districts didn't take care about the initiative which done by the project Thus some time they didn't Pay even the Allowance for all teachers who attending in the course several  time. But what was seen in those who didn't support for any means their sports teachers when needed to attend to the seminar  is due to the luck of commitment, accountability and negative perspective. It is true that from societies to the authorities thinking that sports is like extra mater in the whole life of human being thats why  many institution and organization didn't care about sports. In that opening event the  guest of honor advised the public and non public organization to to work together towards the development of sports, this due to the opportunities which created by sports. Among of that opportunities are Employment, body and mind health, dignity, and also sports is a part of culture. 

         
 the Above picture are sports teacher in together with Guest of honor Regional sports officer Regional chair Person of Tanzania Teachers Union(TTU), Project Manager and Amani Mwaipaja who is Seminar Lecture

Bellow picture are Sports teachers in practice on how to perform approach  phase in Javelin
In above picture are Sports Teacher receiving instraction from the Lecture

              Sports teacher in training


 Sports teachers in  theory lesson under lecture Mr. Amani Mwaipaja

 Project manager Presenting Shot speech about  the project to the Guest of Honor

Sports Teachers in Concentration  during the Seminar

Mwl. Arnold Bugado (Project Manager ) introduction