Millionaire  Ads

Monday, August 4, 2014

HONGERA MPOMBO CUP

Nitakribani mwezi mmomja  sasa tangu  ligi ya mpira wa miguu  ianze  Wilaya ya Singida vijijini, hongera sana Bwana Mpombo kwa maono yako mazuri ya kuvaa jukumu la kuendeleza michezo mkoani singida. Ligi hii ni kubwa sana kwa mkoa huu wa singida kwani inakaribia kuwa na timi zaidi ya thelathini. Nimatumaini ya kila mwana Singida  kuwa kwa mwendo huu  kuna taswira  nzuri siku za usoni kwa Mkoa na hata Taifa kwa ujumla.

 Ushauri wangu kwa mashindano  makubwa kama haya
  • Kuwepo kwa mipango endelevu ya kuhakikisha  kuna kuwapo na utaratibu mzuri wa kuendeleza vipaji vinavyo onekana kupitia michezo hii.
  • Kuwa husisha wadau wanao kuwa ni mhimili mkubwa katika michezo hii kamaWaamuzi, Makocha, Madakitari n:k
  • Kuchanganya michezo anuai ilikuhusisha jamii kwa ujumla wake zaidi ya wale wanaocheza soka. (Kuwepo na Netiboli, Voleboli, Mpirawakikapu na hata wa Mpirawamikono)
  • Kuwepo kwa mikakati kabambe inayolenga vijana wadogo zaidi kuliko watu wazima ambao hata ufundishaji wake muda mwingine ni mgumu.
kwaujumla jitihada zilizo tumika kwa  kuandaaa michezo hii ni zakuunga  mkono na kuboresha katika maandalizi yake kwa manufaa ya jamii na vizazi vijavyo.

Michezo ni Afya, Urafiki, Furaha, tena pia ni Ajira.
Picha juu gari la matangazo katika  michezo hiyo

Bwana Mpombo akizungumza na hadhira  juu ya umuhimu wa michezo hiyo

Katibu wa Chama cha mpira wa miguu  Mkoa wa Singida akifungua  michezo hiyo  Bw.Hussein Mwamba
Waamuzi wa michezo hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Wachezaji.
kamati ya ulinzi katika mashindano hayo

Sunday, August 3, 2014

BARRIER OF SPORTS DEVELOPMENT IN TANZANIA

It is fact that sports in Tanzania is still in the hands of sponsors.
but is true that our policy work as bridge which can  enable Tanzanians to be overall controller in sports? (economically, Socially and politically).
may be the answer will depend on the thinking capacity of every one  due to the reality that every one have own perception (philosophy).
According to my point of view i can say that  in Tanzania sports is growing very slow due to the indicators which seen everyday:
Example :- it is a long time since Tanzania got medal from the International competition like Olympics and Commonwealth. 
 

The picture above shows how the  players are prepared at grass root level for the aim of  getting representatives in National and International competitions  (This was a competitions kisiriri secondary school vs  New kiomboi Secondary School at Iramba District-Singida )
  •  Questions:-
  1. what are the reason behind?
  2. what can we do to enable  good development of sports?
  3. what is the responsibility of Government  and communities towards this issue?   
welcome stakeholders for the comments on this topic.